AS Vita Club yakwama kwenda Afrika Kusini
Klabu ya AS Vita Club imeshindwa kusafiri kutoka DR Congo hadi Afrika Kusini kwajili ya mchezo dhidi ya Stellenbosch mpaka sasa
AS Vita Club ipo hatarini kupoteza mechi hiyo itakayochezwa ijumaa hii huku sababu ni mambo ya Utawala kwa Afrika Kusini na DR Congo
AS Vita Club bado wapo Kinshasa, DR Congo na wameandika barua kwenda CAF kuhusu tatizo hilo la Utawala wa Afrika Kusini na DR Congo kushindwa kusafiri lakini CAF hawajajibu lolote.