Yanga watambulisha jezi za mpya 2024/2025

Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga SC leo wametambulisha jezi zao mpya ambazo watazitumia msimu ujao.

Agosti 4 mwaka huu Yanga wataadhimisha tamasha lao la Wiki ya Wananchi ambapo mbali ya kutambulisha kikosi chao pia watatambulisha na jezi zao mpya zenye rangi ya njano, kijani na nyeusi

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI