Simba yazindua jezi, neno Sanda laleta balaa

Klabu ya Simba SC leo imetambulisha jezi mpya watakazozitumia msimu ujao wa 2024/2025, lakini jezi hizo zimeleta tafrani baada ya neno la mbele kuandikwa "Sanda" jambo ambalo limewagawa mashabiki.

Simba leo imezindua wiki ya Simba Day kwenye mbuga ya wanyama ya Mikumi mkoani Morogoro, hata hivyo jezi za msimu huu ni bora kuliko za misimu yote iliyopita ila neno Sanda limeleta tafrani



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI