Simba yasajili mbadala wa Lakred

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya kumsajili golikipa wa timu ya Guinea, Moussa Camara mwenye umri wa miaka 25 kutoka Horoya AC ya Guinea.

Simba imeamua kumsajili kipa huyo baada ya kipa wake nambari moja Ayoub Lakred kuumia na atakaa nje kwa miezi sita na pia viongozi wa klabu wakishindwa kumuelewa kipa Aishi Manula


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI