Simba kurejea Jtano ijayo

Klabu ya Simba SC ya Tanzania inatarajia kurejea Dar es Salaam Jumatano ya Julai 31 kwaajili ya Simba Day 2024 na kuuanza rasmi msimu wa 2024 - 25.

Maadhimisho ya Simba Day yatafanyika Agosti 3 ambspo Wekundu hao wa Msimbazi watashuka dimbani kucheza na APR ya Rwanda.

Simba pia itatumia nafasi hiyo kutambulisha wachezaji wake wapya na wa zamani pamoja na Benchi lake la ufundi, mbali ya timu ys wanaume kucheza na APR, timu ya wanawake nayo itacheza mchezo wa kirafiki




Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI