Paul Godfrey Boxer atua Songea United


Beki wa zamani wa Yanga, Paul Godfrey ‘Boxer’ amejiunga na Songea United (zamani FGA Talents) iliyopo Ligi ya Championship, ili kuongeza nguvu katika kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao. 

Uongozi wa timu hiyo umeona kiwango cha Boxer, kitawasaidia kutokana na uzoefu wake alionao baada ya kucheza timu tofauti za Ligi Kuu ambapo msimu ulioisha alikuwa Ihefu (sasa Singida Black Stars).


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI