Mzee Magoma azidi kumkalia kooni Injinia Hersi

Pale Yanga SC kuna makundi ukionekana wewe siasa zako zinaenda kinyume na wao wanakuweka pembeni. Mimi siwezi kuwa mtumwa wao hata siku moja nitaendelea kusimamia kwenye katiba.

Kwa sasa siwezi kwenda pale klabuni kwasababu nimeomba serikali inirinde sasa nikienda pale wakati nimeshawasha moto si itaonekana nimejitakia.

Mimi nimekataa kutumika kama wengine,hauwezi kuona nimekaa pale nasuburi viongozi wanipe mia mbili, amesema mzee Magoma


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI