Matampi aungana na wenzake Coastal Union

Mlinda mlango wa Coastal Union,Ley Matampi [kulia] tayari amerejea nchini na atajiunga na wachezaji wenzake ambao tayari wameingia kambini kujiandaa na msimu mpya.

Msimu uliopita Ley alifanikiwa kupata cleansheet 15 Ligi Kuu na kuwapiku walinda milango wengine wote ndani ya jumba la ladha na hekaheka.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI