Mapya, Kibu Denis arudisha pesa zote za Simba

Kibu Denis amerudisha pesa zote za signing fee alizopewa na Simba SC kupitia Bank ya MMB kwenye account ya Simba,Kibu Denis yuko Norway kwa ajili ya mapumziko.

"Sisi tunamtambua Kibu Denis kuwa bado ni mchezaji wetu, mchezaji wetu mtoro"


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI