Mangungu aongoza Ibada ya kuunusuru uongozi Simba usipinduliwe

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC Murtaza Mangungu hii leo ameongoza dua ya kuwaombea viongozi wa klabu hiyo pamoja na timu kufanya vizuri kuelekea kwenye msimu mpya wa 2024 - 25

Dua hiyo imefanyika katika uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju.

Simba imeamua kufanya dua hiyo kutokana na mwenendo wake kuwa mbaya msimu uliopita na kuambulia nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu bara huku ikitolewa Ligi ya mabingwa hatua ya robo fainali

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI