Makambo apata timu Ujerumani


Mshambuliaji aliyewika na Mtibwa Sugar Under- 20 ambaye baadae alijiunga na Mashujaa FC ya Kigoma, Athumani Makambo amesajiliwa na klabu ya Darmstadt ya daraja la pili Ujerumani.

Makambo amesaini mkataba wa miaka mitatu, mshambuliaji huyo alionesha kiwango kikubwa na ilitabiriwa angefika mbali jambo ambalo limetimia

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI