Kimenya ajiunga Fountain Gate. Soma zaidi

Nyota wa zamani wa Mbeya City,Mtibwa Sugar na Dodoma Jiji FC,Salum Kihimbwa amejiunga na Fountain gates kama mchezaji huru kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Fountain Gates imeweka kambi wilayani Babati Mkoa wa Manyara kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2024/25


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI