Hii ndio timu iliyomteka Kibu Denis toka Simba SC

Klabu ya Kristiansund BK ya Norway imempa mualiko maalumu Kibu Denis ili kufanya majaribio. Akifuzu watamsajili. Atafanya majaribio hadi tarehe 8/8/2024.

Timu hiyo imegharamia safari,Chakula na malazi,Pia ipo tayari kumgharamia kwa jambo lolote.

Atafanya mazoezi na timu hiyo,na kucheza kwenye michezo ya kirafiki itakayokuwepo kwenye timu hiyo.