Hii ndio timu iliyomteka Kibu Denis toka Simba SC

Klabu ya Kristiansund BK ya Norway imempa mualiko maalumu Kibu Denis ili kufanya majaribio. Akifuzu watamsajili. Atafanya majaribio hadi tarehe 8/8/2024.

Timu hiyo imegharamia safari,Chakula na malazi,Pia ipo tayari kumgharamia kwa jambo lolote.

Atafanya mazoezi na timu hiyo,na kucheza kwenye michezo ya kirafiki itakayokuwepo kwenye timu hiyo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI