Diamond afanya balaa Barcelona

Msanii Diamond Platnumz amefanya shoo usiku wa kuamkia leo, Julai 29, Diamond alifanya shoo ya kibabe kabisa huko Barcelona, Uhispania kwenye event ya Afrobrunch.

Tukio linalojulikana kwa kuadhimisha muziki na tamaduni za Afrobeats.....
Sio mchezo, Diamond alipiga mzigo na kuacha mashabiki hoi na vichwa juu!, kwa kuimba nyimbo zake pendwa huku akipata mwitikio mkubwa kutoka kwao.

Hii ilikuwa ni show ya pili masaa kadhaa baada ya ku-perform kwenye show ya Afro Land huko Ujerumani, Julai 27


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI