Chley Nkose amshukuru Diamond Platinumz

Msanii kutoka Afrika Kusini Chley Nkosi" ametoa shukrani zake kwa staa wa bongofleva Diamond Platnumz hii ni baada ya Diamond Platnumz kumshirikisha kwenye nyimbo kadhaa
.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mrembo Chley ametoa shukrani kwenye hilo na ameamua kumshukuru Diamond waziwazi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI