Ayoub Lakred nje miezi 6


Golikipa, Ayoub Lakred atakaa nje ya uwanja kwa miezi sita. Simba SC imeshakamilisha usajili wa golikipa mwingine, Moussa Camara kutoka Horoya AC.

Ayoub ataondolewa kwenye mfumo wa (CAF) ili kumpisha kipa mpya kwa sababu idadi ya wachezaji wa kigeni itazidi.

Aishi Manula hana maelewano mazuri na uongozi wa Simba SC hivyo ni ngumu kurejea kikosini. Anashutumiwa kwa kufungwa bao 5-1 na Young Africans Sports Club.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI