Alikamwe kumpisha Manara Yanga

Aliyekuwa Meneja wa Mawasiliano wa Klabu ya Yanga,Ally Kamwe baada ya kuhudumu kwa misimu miwili kama Meneja wa idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC,leo ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia kwa mafanikio.

Kamwe alianza kazi Yanga September 25,2022 ,leo July 29 amejiuzulu taarifa rasmi itatolewa muda wowote kuanzia sasa licha ya kuwa kwenye maongezi na Uongozi wa Yanga juu ya kuongeza Mkataba mpya lakini amesitisha rasmi suala hilo.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI