Yanga Princess kuibomoa Simba Queens tarehe Juni 28, 2024 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Klabu ya Yanga Princess ipo katika azungumzo na mchezaji Joele Bukuru ambaye aikuwa Kwa Mkopo Fountain Gate akitokea Simba Queens .Mchezaji mwenyewe yupo tayari kujiunga na Wananchi kitu ambacho kinaweza kuleta urahisi wa dili hilo.