Yanga Princess kuibomoa Simba Queens


Klabu ya Yanga Princess ipo katika azungumzo na mchezaji Joele Bukuru ambaye aikuwa Kwa Mkopo Fountain Gate akitokea Simba Queens .

Mchezaji mwenyewe yupo tayari kujiunga na Wananchi kitu ambacho kinaweza kuleta urahisi wa dili hilo.