JKT Tanzania yamrudisha uwanjani Bocco


JKT Tanzania wamefanya mazungumzo na Kocha mkuu wa Simba U17 John Raphael Bocco arudi uwanjani kwa ajili ya kuimarisha eneo lao la ushambuliaji

Bado hawajafikia makubaliano ila walikuwa na mazungumzo chanya na wataendelea kumshawishi ili ajiunge nao kuelekea msimu ujao .