ZUCHU ADAI HARMONIZE AMEBAKIA KUCHAMBANA TU

Mwimbaji wa Bongofleva, Zuchu amemtolewa uvivu Harmonize na kusema alichobakiza ni vichambo tu!.

Kauli ya Zuchu inakuja baada ya Harmonize kuonekana kukejeli malalamiko ya mrembo huyo dhidi ya Diamond Platnumz.

"Harmonize huna hit mjini, una kazi ya kuchambana tu...." ameandika Zuchu katika Insta Story na kuongeza.

"Baba mzima kazi kudandia visivyokuhusu, mwanamke wako yupo busy kuomba nafasi kwa huyo anayejifanya nusu yako shenzi" - Zuchu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI