KUELEKEA FAINALI LIGI YA MABINGWA, AHLY YAOMBA UFAFANUZI


Kuelekea Mchezo wa Fainali ya kwanza CAF Champions league kati ya Esperance na Aly Ahaly Uongozi Wa Aly Ahaly umeomba ufafanuzi CAF juu ya mambo muhimu Kwao kabla ya Mchezo huo.

Aly Ahaly wamesema awatoitaji mwamuzi yeyote kutokea kaskazini mwa Africa kusimamaia mchezo huo.

Lakini pia wameuliza juu ya utendaji kazi Wa VAR wanataka VAR dabithi.

Lakini pia Wameomba kutafutiwa ulinzi imara Kwa ajili ya kulinda Timu Yao, viongozi na mashabiki wao ambao watasafiri Kutoka Misri Mpaka Tunisia.

Lakini pia wanataka kujua kuhusu mgawanyo Wa Ticket amabzo zitauzwa ili kupata idadi sawa ya mashabiki.

Mchezo utachezwa may 18 /5/2024 Tunisia na Fainali ya pili itachezwa May 25/5/2024 Misri


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI