GUEDE AENDELEA KUCHEKA NA NYAVU

Yanga SC imeendelea kuchanja mbuga baada ya jioni ya leo kuilaza Mashujaa FC bao 1-0 katika uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma mchezo wa Ligi Kuu bara.

Kwa ushindi huo Yanga inazidi kuongoza ligi ikiwa na alama 65 ikisaliwa mechi. 4 kukamilisha Ligi hiyo huku Mashujaa ikiwa kwenye hali mbaya.

Bao pekee la Yanga limefungwa na Joseph Guede dakika ya 41 huku akiwa na mwendelezo mzuri wa kucheka na nyavu

𝗚𝗨𝗘𝗗𝗘 𝗢𝗡 𝗙𝗜𝗥𝗘

Katika michezo (5) ya mwisho ya Yanga ligi kuu yenye sawa na points (15) ambapo Yanga wamepata points (13), Joseph Guede amechangia points (12) 

Na anafunga magoli muhimu tu 

Mechi (6) za mwisho alizocheza Guede :

◉  vs  Singida Fountain Gate — ⚽⚽
◉  vs  Simba Sports Club — ⚽
◉  vs  JKT - Aligongesha mwamba 
◉  vs  Coastal Union — ⚽
◉  vs  Tabora United (FA) — ⚽
◉  vs  Mashujaa FC — ⚽'


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI