Tusker, Gor Mahia zamuwania Yacouba Sogne

Vilabu vya Tusker na Gor Mahia vimeingia vitani kuisaka saini ya kiungo wa ushambuliaji wa klabu ya Ihefu raia wa Burkina Faso Yacouba Songne,

Kandarasi ya Yacouba Songne na Ihefu inatamatika mwishoni mwa msimu huu 2022-2023.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI