JUMA LUIZIO AREJEA MTIBWA SUGAR

Na Saida Salum. Dar es Salaam

Mabingwa wa kombe la shirikisho (Azam Sports Federation Cup) Mtibwa Sugar leo wamefanikiwa kuinasa saini ya Juma Luizio kutoka Simba Sc.

Luizio aliyekuzwa na timu ya vijana ya Mtibwa Sugar na baadae kutimikia Zesco ya Zambia na baadae Simba Sc.

Leo amerejea rasmi katika timu iliyomkuza Mtibwa Sugar Sc