Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Matokeo ya mechi za EPL

Na Nasri Alfan

Mechi ya kwanza ili kuwa niya BOURNEMOUTH dhidi ya SUNDRELEND mechi ambayo Sunderland aliweza kubuka na ushindi ugenini wa goli 1 kwa 2 ushindi ambao ume msaidi David Moyess kuku sanya pwenti 5 pekee kwenye michezo 11 iliyo pita pia Sunderland ndio timu inayo shika mkia kwa sasa

BURNLEY wali endeleza wimbi la matokeo mazuri bada ya jana kupata ushindi w Goli 3 kwa 2 nyumbani dhidi ya C.PALACE hii nibada wa wiki iliyo pita kupata Suluhu ugenini dhidi ya Manchester United

Manchester City wali lazimishwa sare ya goli 1 kwa 1 dhiya Middlesbrough
Middlesbrough ambayo pia waliweza kupata Suluhu mechi dhiya Aresenal jana wame fanikiwa kuwazia tena miamba ya EPL kwa goli la dakika za lala salama la de roon huku goli la Man City liki fungwa kipindi cha kwanza na Kun Aguero

Sare ambayo ina ishusha City kile leni na sasa Chelsea ana ongoza ligi hiyo ita tegemea mechi ya leo kama Aresenal ataweza kupata matokeo mazuri dhiya TOTTENHAM Aresenal ata kuwa ana ongoza ligii

Chelsea 5 Everton 0
Mechi ambayo ime mfanya Conte kukaa kileleni mwa ligii ku ya ENGLAND pia Hazzard ame weza kutimiza goli 7 katika mechii 11 pekee.

Pia kwa sasa Chelsea wata kuwa wame timiza Clean sheet 6 katika toka ligii ianzee yani kucheza mechi 6 bila kuruhusu goli  ndio timu yenye Clean sheet nyingi kwa msimuu huu hii ina tokana na ohodari wa mbinu za Conte katika kujilindaaa

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Timu inaitwa Mashujaa Lake Tanganyika FC ( Mashujaa FC ) ilianza rasmi kampeni yake ya kupanda Ligi Kuu tarehe 29/9/2018 na imepanda Ligi Kuu 25/06/2023 miaka mitano ya kupambana kwenye Ligi Daraja la kwanza Championship. Timu hii inaendeshwa kwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa niaba ya Wananchi wa Kigoma. Muelewe hapa maana wengi wanasema ni timu ya Jeshi asilimia 100% Nembo ya timu ni Sokwe Dume, Shujaa wa Hifadhi za Gombe na Mahale zilizopo mkoani Kigoma. Rangi ya kwanza ya jezi ya timu (first kit) ni hiyo hapo chini na kwenye nembo ya timu ni rangi za tunda la michikichi (mawese ). Hii kama njano ni mawese yaliyoganda na huo wekundu ni mawese ya moto. Ukishika tunda la Mse juu utaona wekundu na ukikata katikati utaona njano. Nyeupe ni ‘nazi’ ya Mse hizi ni alama za utajiri wa Kigoma Jezi nyingine ni blue inayowakilisha Ziwa Tanganyika na Jezi nyingine ni Nyeupe

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

Na Prince Hoza AFISA Habari wa klabu ya Yanga SC Ally Shabani Kamwe alidiriki kuudanganya umma wa wapenzi wa soka hapa nchini kwamba hakuna timu yoyote hapa Tanzania kuwahi kuingia hatua ya nusu fainali ya vilabu Afrika. Kamwe alisema timu yake ya Yanga itakuwa timu ya kwanza nchini kuingia nusu fainali ya Afrika, Yanga ilikuwa inakaribia kabisa kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika. Yanga ilianza vizuri ikiwa ugenini baada ya kuilaza mabao 2-0 timu ya Rivers United ya Nigeria, hivyo ilikuwa inasubiria mchezo wa marudiano uliofanyika uwanja wa kumbukumbu ya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Kwa vyovyote Yanga walikuwa na uhakika wa kutinga nusu fainali kwani walihitaji sare yoyote ama ushindi wa aina yoyote. Hapo ndipo Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe aliamua kupiga vijembe kwa watani zake Simba SC na kuipotosha jamii kwa kudai kwamba Yanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kuingia nusu fainali ya Afrika. Kamwe ameifuta hadi rekodi ya Simba kuwa timu ya kwanza Tan...

Mabululu ni wa Simba SC

Simba wameweka donge nono kunasa saini ya mshambuliaji Agostinho Cristovan Paciencio Mabululu anayekipiga Al Tripoli ya Libya Ili ajiunge na Wekundu hao wa Msimhazi. Simba wamefanya mazungumzo ya moja kwa moja na wakala wa Mabululu na mchezaji mwenyewe na wako tayari kulipa kiasi cha juu zaidi kunasa saini ya mshambuliaji huyo hatari zaidi Simba wanahitaji kumalizana na mshambuliaji huyo badala ya kumaliza fainali ya kombe la Shirikisho, tayari Crecentius Magori yuko nyuma ya mpango huo kuhakikisha Simba ijayo inatisha. Mbali na Mabululu, Simba pia inahitaji Saini ya kiungo mshambuliaji wa Azam FC Feisal Salum "Feitoto" ambaye pia amewahi kuichezea Yanga SC