Dula Mbabe kumbe dereva bodaboda!

Na Prince Hoza, Dar es Salaam

Mwanamasumbwi anayekuja juu kwa sasa hapa nchini Abdallah Pazi maarufu Dula Mbabe amefichua siri kwamba kabla hajajikita kwenye ndondi alikuwa dereva bodaboda.

Akizungumza katika kipindi cha michezo cha Sportaiment kinachorushwa na Sibuka FM, amesema aliingia kwenye ndondi kwakuwa alikuwa na kipaji cha kupigana tangu zamani.

Ila mchezo huo umempa nafasi kubwa ikiwemo kufahamika ndani na nje ya nchi, lakini kazi yake inayomuingizia kipato ni kuendesha bodaboda, bondia huyo hivi karibuni alimdunda Mchina kwa TKO

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI