
FIFA yaikabidhi Urusi haki za kuandaa michuano ya kombe la dunia mwaka 2018.
Naibu waziri mkuu nchini
Uingereza Nick Clegg ametoa wito wa Urusi kupokonywa haki za kuandaa
mashindano ya kombe la dunia ya mwaka 2018.
Amesema kuwa ulimwengu utaonekana myonge iwapo utaruhusu michuano hiyo kuendelea nchini Urusi.
Urusi imelaumu Ukraine kwa kuanguka kwa ndege hiyo iliowauawa takriban watu 300.