Ruka hadi kwenye maudhui makuu

MADEMU WA HOLLYWOOD WAJIGONGA KWA DIAMOND, KARRUACHE ATAKA NAMBA YA SIMU,WEMA SEPETU APEWA ONYO

This is hot gossip...! latest news zinasema kuwa Diamond amekuwa "Diamond" kwa mademu wa Hollywood akiwemo Karruache Tran ambaye ni demu wa Chris Brown ! juzi zilifanyika tuzo za BET Awards 2014 ambapo Diamond alikuwa nominated katika best international act Africa na kuhudhuria tuzo hizo Los Angels.

Sasa basi kwa mujibu wa chanzo kimoja toka Tanzania kilichopo Marekani kwasasa kikichat na Swahiliworldplanet kimesema kuwa yeye alihudhuria tuzo hizo na rafiki yake mnigeria ambaye alikuwepo kuwapa support Tiwa Savage.


Lakini katika mishemishe za tuzo hizo kwenye red carpet na hata nje ya red carpet Diamond alionekana kuwa kivutio kwa mademu wa Hollywood akiwemo Karruache demu wa Chris Brown ambaye alikuwa alimpiga maswali ya interview Diamond huku akijibodoa mbele ya Diamond na baadae kumuomba namba yake ya simu.

Mastaa wengine wa kiume kama Nelly na Ne-yo walisalimiana na kumsogelea Diamond lakini inadaiwa kuna mademu wa Hollywood akiwemo Gabrielle Union walikuwa wanataka kuongea nae hasa baada ya media kuwa busy kumpiga picha Diamond kwenye red carpet.

Diamond na Karuache

" I was there with my Naija friend to support Tiwa, but me nlishangaa some Hollywood girls wakimnyoshea kidole Diamond muda mwingi kuliko hata Davido aliyechukua tuzo, Karruache kamuomba namba Diamond mi nikiona, there was Gabrielle Union she was pointing to Diamond with her friends, even my Nigerian friend asked if Diamond alishakuja Hollywood kwenye event kubwa before? and I said no"

Chanzo hicho kikaendelea kwa kusema kuwa Wema Sepetu anatakiwa afunguke macho na yeye aanze kufanya kazi kwa bidii ili awe wa kimataifa na kuwa sambamba na Diamond la sivyo ni rahisi kuporwa Diamond na mademu wa Hollywood "this guy(Diamond) is real Diamond he has a glittering star if he goes on working hard he will be megastar, Wema should learn from him if not they will be apart, Diamond will be taken by another lady of his league"

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Timu inaitwa Mashujaa Lake Tanganyika FC ( Mashujaa FC ) ilianza rasmi kampeni yake ya kupanda Ligi Kuu tarehe 29/9/2018 na imepanda Ligi Kuu 25/06/2023 miaka mitano ya kupambana kwenye Ligi Daraja la kwanza Championship. Timu hii inaendeshwa kwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa niaba ya Wananchi wa Kigoma. Muelewe hapa maana wengi wanasema ni timu ya Jeshi asilimia 100% Nembo ya timu ni Sokwe Dume, Shujaa wa Hifadhi za Gombe na Mahale zilizopo mkoani Kigoma. Rangi ya kwanza ya jezi ya timu (first kit) ni hiyo hapo chini na kwenye nembo ya timu ni rangi za tunda la michikichi (mawese ). Hii kama njano ni mawese yaliyoganda na huo wekundu ni mawese ya moto. Ukishika tunda la Mse juu utaona wekundu na ukikata katikati utaona njano. Nyeupe ni ‘nazi’ ya Mse hizi ni alama za utajiri wa Kigoma Jezi nyingine ni blue inayowakilisha Ziwa Tanganyika na Jezi nyingine ni Nyeupe

Ngao ya Jamii sasa ni Simba na Yanga

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limebadilisha kanuni za mashindano za Ngao ya Jamii kutoka timu nne na sasa utaratibu utakuwa kama zamani. Bingwa wa Ligi Kuu bara atacheza na mshindi wa kombe la CRDB Cup "CRDB Federation Cup, na endapo kama bingwa wa ligi na CRDB atakuwa ni mmoja basi mshindi wa pili kwenye Ligi Kuu ya NBC atacheza mchezo wa ufunguzi wa ligi yaani Ngao ya Jamii.  Hivyo ni rasmi ufunguzi wa wa ligi kuu mchezo  wa "Ngao ya Jamii msimu huu 2025-2026 ni Yanga na Simba watakutana.

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

Na Prince Hoza AFISA Habari wa klabu ya Yanga SC Ally Shabani Kamwe alidiriki kuudanganya umma wa wapenzi wa soka hapa nchini kwamba hakuna timu yoyote hapa Tanzania kuwahi kuingia hatua ya nusu fainali ya vilabu Afrika. Kamwe alisema timu yake ya Yanga itakuwa timu ya kwanza nchini kuingia nusu fainali ya Afrika, Yanga ilikuwa inakaribia kabisa kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika. Yanga ilianza vizuri ikiwa ugenini baada ya kuilaza mabao 2-0 timu ya Rivers United ya Nigeria, hivyo ilikuwa inasubiria mchezo wa marudiano uliofanyika uwanja wa kumbukumbu ya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Kwa vyovyote Yanga walikuwa na uhakika wa kutinga nusu fainali kwani walihitaji sare yoyote ama ushindi wa aina yoyote. Hapo ndipo Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe aliamua kupiga vijembe kwa watani zake Simba SC na kuipotosha jamii kwa kudai kwamba Yanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kuingia nusu fainali ya Afrika. Kamwe ameifuta hadi rekodi ya Simba kuwa timu ya kwanza Tan...