HUU NDIO MKOKO ALIOZAWADIWA MAMA YAKE DIAMOND PLATINUMZ

Gari la kifahari linaloonekana pichani ndilo alilozawadiwa jana mama mzazi wa mwanamuziki nyota nchini Naseeb Abdul au Diamond Platinumz ambaye kwa sasa yuko nchini Marekani, gari hilo alipewa wakati akiadhimisha siku yake ya kuzaliwa.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI