Ruka hadi kwenye maudhui makuu

LEO NDIO LEO, MAN CITY VS BARCELONA.

Yaya Toure

Manchester City and Barcelona's Uefa Champions League round of 16 first leg will be their first competitive encounter, but there are unlikely to be too many surprises for either side given the hosts' Spanish connections.

Watch the action live on SS3, SS3HD and live streaming on supersport.com from 9pm (CAT, GMT +2).
City's squad features four Spaniards – Javi García, Jesús Navas, Álvaro Negredo and David Silva – along with four more players also signed from Spain's top flight including Yaya Touré, who joined from Barcelona in 2010.

Additionally they have in Manuel Pellegrini a coach well acquainted with the Spanish game, and in director of football Txiki Begiristain a man who knows Barcelona better than most.

Pellegrini's City reached this stage by finishing second in Group A where they took 15 points – two more than Gerardo Martino's Barcelona managed in winning Group H.


Previous meetings The clubs have met six times in friendly matches:
  • 1952 Barcelona 5-1 Manchester City
  • 1957 Barcelona 3-2 Manchester City
  • 1974 Barcelona 3-2 Manchester City
  • 1986 Barcelona 1-1 Manchester City (3-4 penalties, played in Huelva)
  • 2003 Manchester City 2-1 Barcelona
  • 2009 Barcelona 0-1 Manchester City
Barcelona visited City on 10 August 2003 for their inaugural match in a stadium built for the 2002 Commonwealth Games. Nicolas Anelka and Trevor Sinclair scored either side of Javier Saviola's goal for Barcelona, who included Carles Puyol and Xavi Hernández in their starting XI with Andrés Iniesta a second-half substitute.
City won 1-0 at Barcelona in a pre-season friendly in August 2009, Martin Petrov the scorer. Touré was playing for Barcelona while Pablo Zabaleta is City's only survivor.
The lineups were:
Barcelona: Pinto, Montoya (Alves 46), Puyol (Bartra 30), Fontas (Piqué 65), Maxwell, Sergio, Y Touré (Jonathan 46), Gudjohnsen (Keita 46), Jeffren (Gai 54), Bojan (Ibrahimovic 46), Pedro (Messi 46).
Manchester City: Given, Onuoha, Dunne, K Touré (Ben Haim 46), Zabaleta (Garrido 65), Weiss, Wright-Phillips (Tripper 81), Ireland, Barry (Etuhu 69), Petrov, Tévez (Bellamy 65)

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Timu inaitwa Mashujaa Lake Tanganyika FC ( Mashujaa FC ) ilianza rasmi kampeni yake ya kupanda Ligi Kuu tarehe 29/9/2018 na imepanda Ligi Kuu 25/06/2023 miaka mitano ya kupambana kwenye Ligi Daraja la kwanza Championship. Timu hii inaendeshwa kwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa niaba ya Wananchi wa Kigoma. Muelewe hapa maana wengi wanasema ni timu ya Jeshi asilimia 100% Nembo ya timu ni Sokwe Dume, Shujaa wa Hifadhi za Gombe na Mahale zilizopo mkoani Kigoma. Rangi ya kwanza ya jezi ya timu (first kit) ni hiyo hapo chini na kwenye nembo ya timu ni rangi za tunda la michikichi (mawese ). Hii kama njano ni mawese yaliyoganda na huo wekundu ni mawese ya moto. Ukishika tunda la Mse juu utaona wekundu na ukikata katikati utaona njano. Nyeupe ni ‘nazi’ ya Mse hizi ni alama za utajiri wa Kigoma Jezi nyingine ni blue inayowakilisha Ziwa Tanganyika na Jezi nyingine ni Nyeupe

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

Na Prince Hoza AFISA Habari wa klabu ya Yanga SC Ally Shabani Kamwe alidiriki kuudanganya umma wa wapenzi wa soka hapa nchini kwamba hakuna timu yoyote hapa Tanzania kuwahi kuingia hatua ya nusu fainali ya vilabu Afrika. Kamwe alisema timu yake ya Yanga itakuwa timu ya kwanza nchini kuingia nusu fainali ya Afrika, Yanga ilikuwa inakaribia kabisa kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika. Yanga ilianza vizuri ikiwa ugenini baada ya kuilaza mabao 2-0 timu ya Rivers United ya Nigeria, hivyo ilikuwa inasubiria mchezo wa marudiano uliofanyika uwanja wa kumbukumbu ya Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Kwa vyovyote Yanga walikuwa na uhakika wa kutinga nusu fainali kwani walihitaji sare yoyote ama ushindi wa aina yoyote. Hapo ndipo Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe aliamua kupiga vijembe kwa watani zake Simba SC na kuipotosha jamii kwa kudai kwamba Yanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kuingia nusu fainali ya Afrika. Kamwe ameifuta hadi rekodi ya Simba kuwa timu ya kwanza Tan...

Mabululu ni wa Simba SC

Simba wameweka donge nono kunasa saini ya mshambuliaji Agostinho Cristovan Paciencio Mabululu anayekipiga Al Tripoli ya Libya Ili ajiunge na Wekundu hao wa Msimhazi. Simba wamefanya mazungumzo ya moja kwa moja na wakala wa Mabululu na mchezaji mwenyewe na wako tayari kulipa kiasi cha juu zaidi kunasa saini ya mshambuliaji huyo hatari zaidi Simba wanahitaji kumalizana na mshambuliaji huyo badala ya kumaliza fainali ya kombe la Shirikisho, tayari Crecentius Magori yuko nyuma ya mpango huo kuhakikisha Simba ijayo inatisha. Mbali na Mabululu, Simba pia inahitaji Saini ya kiungo mshambuliaji wa Azam FC Feisal Salum "Feitoto" ambaye pia amewahi kuichezea Yanga SC