
Spurs ilipigana na kutoka nyuma kwa mabao 2-1 katika dakika za nyongeza na kuipiga Hull Jumatano mabao 8-7 kwa mikwaju ya penalti.
Katika mechi nyingine za hatua hiyo ya michuano hiyo, Manchester United itasafiri hadi Stoke wakati Manchester City itamenyana na Leicester.
Timu ya Jose Mourinho, Chelsea iliyoitoa Arsenal kwa mabao 2-0 Jumanne itamenyana na Sunderland au Southampton.