Yanga na Casemilo deal done tarehe Julai 23, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Yanga wamemtambulisha kiungo mkabaji wa Mlandege,Abdulnassir Mohammed Abdallah,maarufu Kama “Casemiro” kwa mkataba wa miaka mitatu.Yanga wameshinda vita ya kumnasa kiungo huyo mbele ya Azam Fc,JKT na Singida.