MO aanza usajili, Hussein Semfuko apewa miaka miwili Simba tarehe Julai 15, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Simba wamekamilisha usajili wa kiungo wa Coastal Union Raia wa Tanzania ,Hussein Semfuko (21) kwa mkataba wa miaka miwiliKıla kitu kimekamilika Hussein Semfuko ni mali ya Simba msimu ujao