Ni kama analia kuondoka kwake kwenye kikosi cha Yanga, kiungo mkabaji Jonas Mkude ameonesha masikitiko yake baada ya kutengana na wachezaji wenzake wa Yanga.
Mkude ameachwa kwenye kikosi hicho hicho na tayari ametajwa kujiunga na Singida Black Stars, ameandika katika ukurasa wake.