Gamondi amvuta Mkude Singida Black Stars tarehe Julai 21, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Kiungo Jonas Mkude anakaribia kujiunga na Singida Black Stars akitokea Young Africans SCMkude amemaliza mkataba wake na Wananchi ambao ulikuwa wa mwaka mmoja na kocha Miguel Gamondi anahitaji huduma yake.