Arajiga, Hamdani wateuliwa CAF tarehe Julai 17, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Waamuzi wa Tanzania Ahmed Arajiga na Hamdani Said wameteuliwa na CAF kuchezesha fainali za CHAN 2024 zitakazofanyika Tanzania, Kenya na Uganda kuanzia Agosti 2, 2025