Klabu ya Zoman FC imekataa ofa rasmi iliyotumwa na Yanga SC ili kupata saini ya Mshambuliaji Ecua Célestin (23) ambaye yupo kwa mkopo ASEC Mimosas
Imeripotiwa kuwa ofa ya Yanga SC hajawavutia Zoman FC ambao wanammiliki mchezaji huyo na klabu hiyo inasikiliza ofa zingine kubwa zaidi kutoka klabu zingine
Pia mchezaji huyo anafatiliwa kwa ukaribu na scout wa Simba SC ili kurudisha ripoti kwa benchi la ufundi katika mchakato wa usaili kuelekea msimu ujao.