Simba hawajaruhusiwa kutumia uwanjani wa Benjamin mkapa bali wameambiwa uwanja upo tayari na ili waweze kuutumia ni lazima ifanyike kwanza pre match meeting na kama haitafanyika hawataruhusiwa kutumia uwanja wa Benjamin mkapa...ukumbuke wenye uwezo wa kuruhusu pre match meeting ifanyike ni bodi ya ligi, kwa sasa tunawasikiliza bodi ya ligi sasa tuone wanasema kitu gani