APR yampa mikoba ya ukocha Abderrahom Telab

Klabu ya APR FC imetangaza kumwajiri Abderrahim Telab mwenye umri wa miaka 61 kuwa Kocha Mkuu mpya wa Klabu hiyo.
.
Telab anakumbukwa kwa kuisaidia Wydad Casablanca kubeba Ubingwa wa Klabu Bingwa Barani Afrika mwaka 2022.