Trump amkubali CR7


"Cristiano Ronaldo ndiye mtu pekee duniani ambaye anaweza kushinda uchaguzi wa Urais katika nchi yake bila kufanya kampeni." ~ Donald Trump

"Ikiwa Cristiano Ronaldo atawania Urais wa Ureno, atashinda bila shida. Hata Rais wa Ureno anajua kwamba hana nafasi dhidi ya Cristiano. Ronaldo ndiye GOAT." ~ Donald Trump

Donald Trump alimwambia kwa kujiamini Rais wa Ureno, Marcelo Rebelo, ambaye amekuwa Rais wa Ureno tangu 2016, kwamba sababu pekee inayomfanya abaki madarakani katika nchi yake ni kwa sababu Ronaldo hataki kugombea urais.