Aziz Ki ashika nafasi ya 4 kwa kulipwa mkwanja mkubwa Afrika

Mtandao wa Africa Facts Zone umetoa orodha ya Wachezaji Wanaolipwa zaidi katika Ligi za Afrika kila Mwaka kupitia kurasa wao wa Twitter (X) huku kiungo mshambuliaji wa Yanga SC Stephane Aziz Ki akishika nafasi ya 4 katika orodha hiyo.

Misri - Ali Maaloul | $1.5 milioni | Al Ahly

Afrika Kusini - Ronwen Williams | $320,000 | Mamelodi Sundowns

Angola - Tiago Azulão | $263,000 | Petro de Luanda

Tanzania - Stephane Aziz Ki | $240,000 | Young Africans SC
Rwanda - Richmond Lamptey | $120,000 | APR FC

Zimbabwe - Khama Billiat $72,000 | Scotland FC

Nigeria - Sikiru Alimi $10,163 | Remo Stars

Eswatini - Neliswa Dlamini| $7,672 | NsAFRIKA FC