WILLY OSEMBA ONANA NI MALI YA SIMBA, ASAINI LEO

Mshambuliaji Willy Osemba Onana raia wa Rwanda leo mapema amesaini mkataba wa miaka miwili na klabu ya Simba SC.

Onana ameondoma leo hii na ndege ya Ethiopia Airlines saa 10: 25 alfajiri ya leo na tayari ameshamalizana na klabu hiyo.

Mchezaji huyo atarejea tena nchini kwa ajili ya kuungana na wachezaji wenzake watakapoingia kambini kujiandaa na msimu mpya wa ligi