Mac Muga ni wimbo wa kweli- Alikiba

Mac muga ni wimbo wenye alama ya tofauti kwa catalogue ya Alikiba ulitokana na story ya kweli ya mtu halisi anayeitwa Mac Muga kama jina la wimbo huo.Na hapa ameshea nasisi kuhusu story ya Mac Muga:

"Nafiki ilikuwa mida ya saa tisa wakati naelekea mazoezini, nakumbuka ndo kipindi ambacho nilitakiwa nielekee Yanga.

Wakati nilipofika karibu na uwanja wa mazoezi ndipo nilipokutana na Mac Muga huku akiwa amejiinamia nikawa nimeuliza nini haswa kinamsibu, ndipo alipoanza kunisimulia story yake. na hapo nikapata wazo la wimbo wa Mag Muga.Alisema Alikiba

Alikiba

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI