Mbwana Samatta atupia tena PAOK tarehe Machi 03, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Nyota wa Tanzania Mbwana Samatta ameisaidia timu yake ya PAOK FC kupata ushindi wa mabao 2:0 dhidi ya Asteras kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Ugiriki, Samatta amefunga bao moja na kutoa pasi ya usaidizi (Assist)