KILELE CHA AZAM SPORTS FEDERATION CUP MKWAKWANI tarehe Juni 12, 2023 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Kilele cha michuano ya Azam Sports Feferation Cup, ASFC maarufu kombe la FA imefanyika jioni ya leo katika uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga ambapo timu ya Yanga SC imetwaa ubingwa kwa kuichapa Azam FC bao 1-0.