SIRI YAFICHUKA, MANARA KUPEWA TUZO OMAN

Na Ikram Khamees. Dar es Salaam

Siku moja baada ya Mkuu wa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara kutunukiwa tuzo na aliyekuwa mfadhili wa Simba, Sheikh Rawaih huko Oman.

Hatimaye siri imebumbuluka kuwa Sheikh Rawaih ndiye atakayeuziwa Hisa za kuimiliki klabu ya Simba, taarifa za ndani kabisa zinasema katika ziara ya Oman.

Manara ameambatana na baadhi ya wajumbe wa kamati ya utendaji wa klabu hiyo kwa maana Mohamed Dewji "Mo" kwishinei.

Haji Manara (Kushoto) akipokea tuzo kutoka kwa aliyekuwa mfadhii wa Simba, Sheikh Rawaih