Mrithi wa Tshabalala Simba, huyu hapa, apewa miaka mitatu tarehe Julai 20, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Simba SC Tanzania inakaribia kukamilisha usajili wa beki wa kushoto Khadim Diaw (27) raia wa Mauritania akitokea Al Hilal.Simba itampa mkataba wa miaka mitatu kama watamalizana katika hatua chache zilizobaki.